Tuesday, May 08, 2012

Ligi Kuu ya Vodacom

Simba bingwa

Simba imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tz baada ya kujikusanyia pointi 62. Katika mchezo wa mwisho wa ligi hiyo, Simba iliichapa Yanga 5-0 na kukabidhiwa kombe katika uwanja wa Taifa Jijini Dar.


Hongereni mabingwa.

No comments: