Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
Tuesday, May 08, 2012
Ligi Kuu ya Vodacom
Simba bingwa
Simba imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tz baada ya kujikusanyia pointi 62. Katika mchezo wa mwisho wa ligi hiyo, Simba iliichapa Yanga 5-0 na kukabidhiwa kombe katika uwanja wa Taifa Jijini Dar.
No comments:
Post a Comment